| pete hiyo mmeionaaa,,,,,,,,,,,,,,, |
| wakiimba,,,,,,ni noma |
| hawakaribiani kabisa hadi siku ya ndoa etieehhh,,,,,teh teh |
| umependezajee,,,,,,,,,,,,,, |
| mazawadi yalikuwa ya kumwaga,,,,,,,,,,,,, |
| cordinator wake aliyevaa red top nae akienda kutoa zawadi,,,,watu walikuwa wengi mno.................... |
| nyoosha watu waone ,,,wenye wivu wasage chupa wanywe,,,ni nukuu hiyo kutoka kwa mchungaji jamani msinichambe |
| wakiombewa,,,,,,,,,,,,,,,,jamani |
Mmependeza sana jamani all the best Nakazaeli ..........
ReplyDelete