| da anatia huruma nadhani alipata mshtuko hiviii |
| shuhuda wakimbeba |
| ni quality centre hapa |
| wakitaka kujua kinagaubaga,,,kulikoniiii |
| mnamuona jamani mara tu baada ya kudondoka na kuzimia |
| watu wakimshangaa binti aliyezimiwa baada ya kutapeliatu |
| wakitafuta sehemu ya kumpumnzisha ili azinduke |
| wasamaria wema wakimbeba |
| mmeona dini hilo jamaniiiii teh teh... |
| dada alidanganywa haya ni madini ya tanzanite kumbe mawe duu ,,,noma |
| Mkemia mwenyewe akijaribu kudadisi madini au mawe haya,,,,, |
| mdada baada ya kuzinduka akiondoka sijui anakwenda wapi hapa,,,duuu kali |
No comments:
Post a Comment