Monday, August 20, 2012

Hongera sana Selina na Steven kwa kutimiza ndoto yenu,,Mungu awajalie amani na upendo katika maisha haya mapya mliyoanza,,,Amen



  
























Wakijadili jambo


ilikuaje tamuuu








ulitishaaaa Jessy,,,pendeza mnoooo.,,,...funika





happy peopleeee






so cuuuteeeee




paparaziiii haooo





its a nice pic,,,,,

mnaangalia nini jamani?



sisi na zawadi zetuuu


from Orcadeco




chezeya ubuntuuuu






























happy peopleeee







kuna mtu hapa naona kila picha yupo,,,lol

my brooo

umetishaaaa










































Nikiripoti kutoka ukumbi wa Helenic mimi ni Hatima Shayo wa Women-Communication blogspot.

4 comments:

  1. mmh itabidi tukununulie camera looh picha ziko dally sana mmmh tutaitisha harambee, so far umejitahidi ila umetubania picha za maharushi hujarusha

    ReplyDelete
  2. mwanzo mgumu ila mbeleni tapata camera nzuri kama una hela si ungemnunulia siku nyingi acha kimbelembele lol

    ReplyDelete
  3. Dah!! ningeshukuru mdau (mtu) ungeninunulia Camera kiukweli Camera yangu bado ni ya hadhi ya chini any way,nina mpango wa kununua the quality one.Picha za maharusi zinakuja sooonn usijali

    ReplyDelete
  4. FNB mpo juu,,naona ubuntu kwa sanaaaaaa

    ReplyDelete

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...