Waratibu wa UWF wakiwa kwenye kipindi cha Leo tena kuhusiana na tuzo ya Mwanamakuka,itakayotolewa kwenye hafla ya Siku ya Wanawake Duniani,itakayofanyika Machi 8 ndani ya Serena Hotel jijini Dar,kulia ni mwongozaji wa kipindi hicho Dina Marious |

unatisha Mama Shayo,uko juu sana
ReplyDeletethanks mdau
ReplyDelete